bembeleza
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Kitenzi
[hariri]Kitenzi
bembeleza (msamiati: bembeleza)
- Kuzungumza au kufanya kwa upole na upendo ili kumshawishi mtu akufanyie jambo au kitu fulani.
- Kutoa maneno ya faraja au ya kuvutia ili kupunguza au kushawishi hisia za mtu.
Visawe
[hariri]Mifano
[hariri]- Mama alimbembeleza mtoto wake kwa upole ili asome vema.
- Mshauri alimmbeleza mteja wake achukue bidhaa anazouza.
| Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana. |