bembea
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]bembea (msamiati: bembea)
- Kitu k.m kiti au ubao unaoning'nizwa kwa kamba au minyororo miwili kwa ajili ya watu hususani watoto kulewalewa ili waburudishe
Mifano
[hariri]- Watoto wanachezea bembea
| Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana. |