Nenda kwa yaliyomo

bembea

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

bembea (msamiati: bembea)

  1. Kitu k.m kiti au ubao unaoning'nizwa kwa kamba au minyororo miwili kwa ajili ya watu hususani watoto kulewalewa ili waburudishe

Mifano

[hariri]
  1. Watoto wanachezea bembea
Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.