bamba
Kiswahili[hariri]
Kielezi[hariri]
bam·ba (nomino)
- Kitu bapa, mara nyingi la mviringo, ambalo linatumika kwa kusukumia maji au kusukumia kitu kingine.
- Bati jembamba linalotumika kuzuia matope yasichafue baiskeli au gari; bango
- Fanya ngono au kubashia mtu bila hiyari yake
Mifano[hariri]
- Nimeweka bamba bora kabisa ili tope zisifinikie.
- Amenibambia huyu mshenzi lazima nimkomeshe.