alika

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

kitenzi[hariri]

alika

  1. toa sauti ya kishindo kama vile mfyatuko wa risasi au mpasuko wa kitu
  2. ita watu waje kwenye sherehe; karibisha
  3. tangaza
  4. pia alisa; weka mgonjwa, mwari, na kadhalika mahali kwa sababu maalum; tawisha

misemo[hariri]

alika mgonjwa- tawisha mgonjwa ili kumfanyia dawa

alika mwari- weka mwanawari ndani kwa muda wa siku kadhaa kabla ya kuolewa

alika mvulana/msichana- weka ndani mvulana au msichana ili kumfunda jandoni au unyagoni

nomino[hariri]

alika pia arika mwanamke au mwanaume ambaye amepata mafunzo jandoni au unyagoni