alia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

kitenzi[hariri]

alia

  1. fanya alama mwilini aghalabu kwa kupiga fimbo
  2. kausha samaki kwa kutumia moto au jua
  3. panga samaki katika kijungu juu ya nyalio