alhasili

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

kiunganishi[hariri]

alhasili

  1. kutumika katika mazungumzo kuonyeshajumla ya vitu au mambo mengi kwa pamoja
  2. kama vile
  3. kwa muhtasari; kwa maneno machache