akiki

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

nomino[hariri]

akiki

  1. (kidini)dua inayosomwa wakati wa kumzika mtoto ambaye hakufanyiwa akika
  2. kito chekundu kinachotiwa kwenye pete; kipambo cha kidani
  3. bonde lililomomonyolewa na maji mengi ya mvua