akika

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

nomino[hariri]

akika

  1. (kidini)sherehe anayofanyiwa mtoto anapofika umri wa siku saba au zaidi ambapo mbuzi huchinjwa na mifupa yake hufukiwa mzima
  2. (kidini)mbuzi au kondoo anayechinjwa katika sherehe ya kukata nywele za mtoto mchanga