akifisha

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

kitenzi[hariri]

akifisha

  1. kataza mtu asifanye jambo; komesha
  2. (sarufi)tia au weka alama za uandishi kama vile koma, kituo, kuuliza, mshangao na kadhalika