Nenda kwa yaliyomo

ajabia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kitenzi

[hariri]

ajabia pata mshtuko wa mawazo kwa kuona au kusikia jambo lisilo la kawaida au jambo ambalo halikutarajiwa

visawe

[hariri]
  • staajabu
  • shangaa
  • pumbaa
  • bahashika
  • tunduwaa
  • vuvuwaa