Nenda kwa yaliyomo

adhama

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino(I-ZI)

[hariri]
  • Matamshi*: /a.ða.ma/
  1. jambo kubwa la heshima na fahari
  2. hali ya ukuu, heshima au utukufu mkubwa.
  3. cheo cha juu kinachoambatana na heshima na fahari.

Tafsiri

[hariri]