Nenda kwa yaliyomo

ada

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

ada n-n

  1. desturi ya jamii fulani
  2. mazoea ya kufanya jambo
  3. malipo yanayotolewa ili kupata huduma fulani kama vile elimu, uanachama, au tiba

Tafsiri

[hariri]