Water vapour
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
Mvuke; aina ya gesi iliyoko kwenye anga hewa ambayo huwa ni kati ya asilimia 1; 4 ya anga hewa na aghalabu huchangia katika kutengeneza mawingu ya mvua na theluji.
Tasfiri[hariri]
- Kiingereza Water vapour (en)