Ufugaji wa samaki
Mandhari
Kiswahili
[hariri]
Nomino
[hariri]Ufugaji wa samaki
- shughuli za uzalishaji wa wanyama au mimea katika mazingira ya majini. Ufugaji wa samaki unafanywa katika mito au madimbwi, kando ya bahari.
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa: aquaculture (fr)
- Kiingereza: aquaculture (en)