Ufugaji wa samaki
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
Ufugaji wa samaki
- shughuli za uzalishaji wa wanyama au mimea katika mazingira ya majini. Ufugaji wa samaki unafanywa katika mito au madimbwi, kando ya bahari.
Tafsiri[hariri]
- Kifaransa: aquaculture (fr)
- Kiingereza: aquaculture (en)