Nenda kwa yaliyomo

Sunami

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]
Sunami

Nomino

[hariri]

Sunami (wingi sunami)

  1. neno la kijapani lenye maana ya mawimbi makubwa baharini yasiyo ya kawaida na aghalabu husababishwa na mtetemeko wa ardhi.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: Tsunami (en)