Mgahawa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Matamshi[hariri]

  • AFK (IPA): /mɡa.ˈha.wa/

Jina[hariri]

mgahawa (wingi, sawale)

  1. nyumba wa wala, pamoja na mpishi mkuu, wapishi, wahudumu; kuna meza, viti, sahani, vyombo vya kulia chakula, na (bila shaka) vyakula.

Tafsiri[hariri]