Hifadhi ya kaboni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Hifadhi ya kaboni

Nomino[hariri]

hifadhi ya kaboni ni kiasi cha kaboni ambayo imechukuliwa kutoka anga na sasa imehifadhiwa ndani ya mazingira ya misitu, hasa ndani ya majani hai na udongo, na kwa kiasi kidogo pia katika kuni zilizokufa na takataka.

Tafsiri[hariri]