Hewa songezi
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
Hewa songezi (hewa songezi)
- hewa ambayo ina joto jingi kuliko mazingira yake na hupanda juu angani na kutengeneza mawingu ya mvua.
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza Unstable air (en)
Hewa songezi (hewa songezi)