mrakibu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

mrakibu

  1. ofisa mwenye mamlaka makubwa ya kusimamia na kudhibiti kazi; Mrakibu wa polisi mwenye cheo cha juu anayesimamia na kudhibiti mynendo na matendo ya polisi.

Visawe[hariri]


Tafsiri[hariri]