mkono

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

[hariri] Kiswahili

mkono.

[hariri] Nomino

mkono (wingi mikono)

  1. sehemu ya mwili iliyo ning'inia kwenye mabega na huwezesha mtu kushika vitu na kujikuna

[hariri] Tafsiri

Vifaa binafsi