kinara

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

kinara (wingi vinara)

  1. mwenyekiti katika idara au kampuni fulani fulani
  2. Kinara, kifaa cha kushikilia mishumaa au balbu kinachotumika kama taa. Menorah ya Kiyahudi ni kinara ya matawi saba au tisa.

Tafsiri[hariri]