kibaka

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

kibaka (wingi vibaka)

  1. mtu mwenye tabia ya kupora mifuko ya watu au kuchukua vitu vya watu wengine kwa kudanganya au kwa kutumia nguvu na kuacha mtu au watu hao bila kitu

Tafsiri[hariri]