demani
Kiswahili[hariri]
Nomino[hariri]
demani (demani)
- Sehemu ambayo imekingwa na mlima kutokana na upepo unaovuma kutoka upande wa pili wa mlima na aghalabu hupata mvua chache Mfano. mji wa Nanyuki uko demani mwa Mlima Kenya
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza Leeward side (en)