Ukongo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

ukongo

Nomino[hariri]

Ukongo (ukongo)

  1. Ni kuathirika kwa ngozi au tishu za mwili zilizoko mbali na moyo kwa sababu ya kufa gan-

zi kutokana na baridi kali ya kipupwe.

Tafsiri[hariri]