Nishati mbadala
Kiswahili[hariri]
Kielezi[hariri]
Ni aina za nishati kutoka vyanzo asilia kama vile mwanga wa jua, nguvu ya upepo, mvua, joto kutoka ardhi, mwendo wa kupwakujaa, kuni au aina nyingine za biomasi na mengine.
Tafsiri[hariri]
- Kiingereza Renewable Energy (en)