Dubu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

Dubu

  1. Mnyama mkubwa wa mwitunimwenye manyoya mengi yasiyo laini na ambaye asili ya maisha yake ni sehemu za baridi zilizoko Kaskazini mwa dunia na huwa wa aina nyingi.
    Dubu Uchina
  2. Mtu mpumbavu

Matamshi[hariri]

/dubu/