demani

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru
(Elekezwa kutoka Demani)

Kiswahili[hariri]

Demani

Nomino[hariri]

demani (demani)

  1. Sehemu ambayo imekingwa na mlima kutokana na upepo unaovuma kutoka upande wa pili wa mlima na aghalabu hupata mvua chache Mfano. mji wa Nanyuki uko demani mwa Mlima Kenya

Tafsiri[hariri]