zèbre
Mandhari
Kifaransa
[hariri]Nomino
[hariri]zèbre
- Mnyama wa porini mwenye milia myeusi na meupe, anayepatikana Afrika.
Mfano
[hariri]- Le zèbre court dans la savane.
(Pundamilia anakimbia porini.)
Tafsiri
[hariri]- {ta|{sw}}: pundamilia
- Kiingereza: zebra
- Kinyarwanda: ifarasi y’amabara