Nenda kwa yaliyomo

yele

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

yele n-n (wingi yele)

  1. Manyoya marefu yanayoota kwenye shingo ya baadhi ya wanyama kama simba dume na farasi.

Tafsiri

[hariri]