Nenda kwa yaliyomo

webcam

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; webcams)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kamera ndogo ya video inayoingiza picha moja kwa moja kwenye kompyuta ili iweze kurushwa kupitia mtandao.

Tafsiri

[hariri]

Kiswahili; kamera ya wavuti