Nenda kwa yaliyomo

walrasi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

walrasi n-n (wingi walrasi)

  1. Mnyama mkubwa wa bahari za baridi anayefanana na sili lakini ana meno mawili marefu yanayochomoza nje.

Tafsiri

[hariri]