vita baridi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino neno-mawili
[hariri]- Mgogoro wa kisiasa, kiuchumi, na kiitikadi baina ya mataifa makuu bila mapigano ya moja kwa moja kijeshi, hasa kati ya Marekani na Umoja wa Kisovyeti baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia (1947–1991).
- Hali ya mvutano au ushindani mkali baina ya pande mbili au zaidi, ambapo hakuna vita ya wazi lakini kuna mikakati ya kisiasa, kijasusi, au kiuchumi inayotumika kudhoofisha upande mwingine.
Kiingereza:Cold War