vinasaba
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- umoja: kinasaba
- Vipengele vidogovidogo vilivyopo ndani ya chembe hai (seli) vinavyo beba taarifa za kinasaba.
- Vipande vya DNA vinavyo hifadhi maagizo ya kuunda protini mbalimbali ambazo ndizo huamua sifa na tabia za kiumbe hai.
- Vipande vya DNA vyenye taarifa zinazorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza [DNA]