utindio wa ubongo
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]utindio wa ubongo (wingi utindio wa ubongo)
- ni hali ya kudumu inayoyosababisha kuathirika kwa misuli na harakati za mwili,kutokana na uharibifu wa ubongo unaotokea kabla au baada tya kuzaliwa.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: cerebral palsy