Nenda kwa yaliyomo

utambulisho

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. (wingi) utambulisho;hali ya mtu au kitu kujulikana rasmi kwa jina, sifa, au hadhi fulani katika jamii au mfumo wa kisheria

Tafsiri

[hariri]