Nenda kwa yaliyomo

user interface

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; user interfaces)

  1. Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha sehemu ya programu ambayo mtumiaji anaiona na kuitumia ili kuwasiliana na kompyuta.

Tafsiri

[hariri]

Kiswahili; kiolesura cha mtumiaji