upofu wa usiku
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri](wingi: upofu wa usiku)
- ni hali ya afya ambapo mtu hawezi kuona vizuri wakati wa usiku au katika mwanga hafifu , husababishwa na ukosefu wa vitamin A mwilini.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: night blindness