Nenda kwa yaliyomo

unyago

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

nomino==

[hariri]

unyago (nyago) (nomino)

  1. ni sherehe au mchakato wa kitamaduni unaofanywa na jamii mbalimbali nchini Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla,hasa kwa wasichana wanaofikia umri wa balehe.

Tafsiri

[hariri]
  • Kiingereza:coming-of-age ceremony for girls