Nenda kwa yaliyomo

umbizo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

umbizo (wingi maumbizo)

  1. Muundo maalum wa jinsi data inavyopangwa na kuhifadhiwa ndani ya faili.

Tafsiri

[hariri]