umande

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Umande

Nomino[hariri]

umande (umande)

  1. matone madogomadogo ya maji ambayo huanguka juu ya ardhi na nyusoni mwa vitu vinginevyo kama vile nyasi, majani ya miti ambavyo huwa nje hasa

wakati wa usiku.

Tafsiri[hariri]