Nenda kwa yaliyomo

ujira

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

ujira

  1. malipo anayopewa mtu baada ya kazi ya mkono au malipo yanayotokana na utumishi mahali (taasisi au vinginevyo)au kwa mtu Fulani kwa makubaliano maalumu.

Tafsiri

[hariri]