uhamiaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili[hariri]

Nomino[hariri]

uhamiaji

  1. Kitendo cha kuhama kutoka nchi moja hadi nyingine ili kuishi huko.
  2. Safari ambazo aina fulani za wanyama hufanya, ama mara kwa mara au kwa nyakati zisizo za kawaida

Tafsiri[hariri]