Nenda kwa yaliyomo

uhamaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

uhamaji

  1. Safari ndefu ya msimu inayofanywa na makundi ya wanyama au ndege kutafuta chakula au mazingira bora.

Tafsiri

[hariri]