ugonjwa wa uti wa mgongo
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]ugonjwa wa uti wa mgongo (wingi magonjwa ya uti wa mgongo)
- ni uvimbe au inflamesheni ya tando zinazofunika na kuukinga ubongo na uti wa mgongo, sehemu inayojulikana kwa ujumla kama meninjesi.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: meningitis