Nenda kwa yaliyomo

ubunifu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]
  1. uwezo wa mtu kuanzisha au kuvumbua kitu chochote kipya, chenye utofauti na ubora zaidi, ambacho kina thamani.

Mfano: Ubunifu hukuza uchumi wa nchi maskini

Tafsiri

[hariri]