ubunifu
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]- uwezo wa mtu kuanzisha au kuvumbua kitu chochote kipya, chenye utofauti na ubora zaidi, ambacho kina thamani.
Mfano: Ubunifu hukuza uchumi wa nchi maskini
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:creativity