Nenda kwa yaliyomo

uaminifu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]
  • Matamshi*: /u.a.mi.ni.fu/
  1. hali ya kuwa mwaminifu; tabia ya kusema kweli na kutimiza ahadi.
  2. hali ya kutegemewa na kuaminika.

Tafsiri

[hariri]