uambatanishaji
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- kitendo cha kuongeza au kuambatanisha kipengele cha ziada katika sentensi ya kisarufi bila kuwa cha lazima
- mchakato wa kuunganisha kitu au kipengele kingine kwenye mfumo au muundo uliopo
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:adjunction, attachment
- Kifaransa:adjonction, attachement