tutor
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; tutors)
- Ni neno la Kiingereza linalomaanisha mwalimu binafsi anayetoa mafunzo au maelekezo ya ziada kwa mwanafunzi mmoja mmoja au kundi dogo. Pia linaweza kumaanisha kitendo cha kufundisha kama mwalimu binafsi.
Tafsiri
[hariri]Kiswahili; mkufunzi, mwalimu binafsi, fundisha