Nenda kwa yaliyomo

timua

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

kitenzi

[hariri]
  • Matamshi: /ti.mu.a/
  1. kufukuza au kumtoa mtu mahali fulani kwa nguvu au kwa haraka.
  2. kusambaratisha au kuondoa kundi la watu.

Tafsiri

[hariri]