Nenda kwa yaliyomo

tezi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

tezi (wingi tezi)

  1. ni kiungo cha mwili kinachozalisha kemikali maalumu ambazo husaidia katika mchakato wa mwili kama vile homoni, mate, jasho au mafuta.

Tafsiri

[hariri]